Wednesday, July 29, 2026

Nairobi 97.7 Western 89.3 Eldoret 92.3 Kitui 105.6 Taita 94.9 North Rift 84.7 Kibwezi 87.9

WANJIGI: HOFU ILIPUNGUZA IDADI YA WATU KWENYE MAANDAMANO

Kiongozi wa chama cha Safina, Jimi Wanjigi, amesema hali ya hofu na hatua kali za usalama zilichangia kupungua kwa idadi ya waliojitokeza katika maandamano ya Saba Saba.

Akizungumzia maadhimisho hayo, Wanjigi amesema wananchi wengi walichagua njia mbadala za kueleza kutoridhishwa kwao badala ya kushiriki maandamano ya mitaani.

Aidha, amedai kuwa hatua za polisi za kuzuia maandamano zilichangia idadi ndogo ya washiriki katika miji ya Nairobi na Mombasa.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *