Tuesday, July 28, 2026

Nairobi 97.7 Western 89.3 Eldoret 92.3 Kitui 105.6 Taita 94.9 North Rift 84.7 Kibwezi 87.9

RAIS RUTO AHIMIZA USAJILI WA WAPIGAKURA ENEO LA MAGHARIBI

Rais William Ruto amewahimiza wakazi wa eneo la Magharibi mwa Kenya wenye vitambulisho vya taifa lakini ambao bado hawajajisajili kuwa wapigakura kufanya hivyo mara fursa itakapopatikana.

Akizungumza Ikulu ya Nairobi Rais amesema usajili wa wapigakura utakuwa muhimu katika uchaguzi ujao.

Aidha, amesema tayari amewapa viongozi wa eneo hilo jukumu la kuhamasisha wananchi wote wanaostahili kujisajili wakati zoezi lijalo la usajili wa wapigakura litakapoanza.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *