Wednesday, July 29, 2026

Nairobi 97.7 Western 89.3 Eldoret 92.3 Kitui 105.6 Taita 94.9 North Rift 84.7 Kibwezi 87.9

MAMLAKA YA KRA YASITISHA KUTOZA USHURU MAJI YA KUNYWA YALIYO KWENYE CHUPA    

Mamlaka ya kukusanya ushuru nchini KRA imetangaza kuwa maji ya kunywa yaliyowekwa kwenye chupa yanayotengenezwa au kuingizwa nchini hayatatozwa tena ushuru wa bidhaa  kufuatia mabadiliko yaliyoletwa kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2026.

Kupitia taarifa kwa umma , KRA imesema kuwa mabadiliko hayo yalianza kutekelezwa rasmi Julai 1, 2026, baada ya Sheria ya Fedha ya mwaka 2026 kufanya marekebisho kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria ya Ushuru wa Bidhaa.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *