CHAMA CHA UDA CHA ONGOZA KULINGA NA UTAFITI WA INFOR TRAK
Chama cha (UDA) kinachoongozwa na Rais William Ruto kimeibuka kuwa chama kinachoongoza kwa umaarufu nchini, kwa mujibu wa utafiti mpya wa maoni uliofanywa na Infotrak
Matokeo ya utafiti huo yanaonyesha kuwa UDA kinaungwa mkono na asilimia 22 ya Wakenya, kikifuatiwa kwa karibu na Orange Democratic Movement (ODM) chenye asilimia 21.
Utafiti huo pia umebaini kuwa (DCP) imeibuka kwa kasi na kuwa chama cha tatu kwa umaarufu nchini kwa kupata asilimia tisa ya uungwaji mkono huku Jubileeimeshikashika nafasi ya nne kwa asilimia sita, huku Wiper ikifuatia kwa asilimia tano ya uungwaji mkono.
Imetayarishwa na Hilda Ajema

